Showing posts with label Bahari Beach. Show all posts
Showing posts with label Bahari Beach. Show all posts

Saturday, April 1, 2017

UZINDUZI WA ALBAMU YA NENO YA FRIDA FELIX KESHO @TAG CITY HARVEST

Uzinduzi wa albamu hii kufanyika kesho tarehe 2 Aprili 2017
katika kanisa la TAG City Harvest Bahari Beach
Kwa Mawasiliano zaidi piga +255 712 093 696

Wednesday, March 29, 2017

CITY HARVEST CHURCH WELCOMED TO TEGETA TAG SECTION

City Harvest Church welcomed to TAG Tegeta Section last Sunday after moving from Mabibo Garage (Magomeni Section) last December. Among many who witnessed the event is the Overseer for Tegeta Section, Rev. Urassa and Bishop Magila of Dodoma South, who is a part of a partneship in Mpwapwa church planting mission together with City Harvest and Ubungo TAG Church
Reverend Urassa, TAG Tegeta Section Overseer preaching at City Harvest
Mr & Mrs Chris Dondo marking birthdays and anniversaries with a cake
Bishop Magila, from Dodoma South, a partner in Mpwapwa church planting mission
Voice of Victory Choir from TAG Boko Basihaya singing at City Harvest
Voice of Victory Choir from TAG Boko Basihaya singing at City Harvest
Voice of Victory Choir from TAG Boko Basihaya singing at City Harvest
WWK City Harvest giving recognition award to Tegeta Section WWK Director
WWK City Harvest giving recognition award to Tegeta Section Overseer
WWK City Harvest leaders welcoming the visitors
William Vitalis receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Mary Mallya receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Sosthenes Mallya receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Lilian Kityege receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Ester Kaniki receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Edwin Ndibalema receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Joseph Buchoti receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Anna Kimaro receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Alexander Mtweve receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Abednego Mhagama receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
George Nzowa receiving a certificate upon graduating Spiritual Maturity Class
Pastor Samwel Mwangu, the Spiritual Maturity Class Program Organiser

CITY HARVEST HOME COMING WORSHIP CONCERT THIS FRIDAY

This Friday... Most Welcome

Friday, March 24, 2017

Tuesday, March 21, 2017

A GLORIOUS CITY HARVEST CAMPUS SUNDAY


Esther Bernard with City Shakers International and Campus Students leading Praise
Pastoral Team during Praise and Worship session
We do it like this....
Show me the dance....
Let the music praise His Holy Name
Drumming praise to jesus
Give Him praise
Praise ON
City Shakers International and Campus Students leading Praise
Alexander with City Shakers International and Campus Students leading Praise
Mighty Warriors Children Class presenting a special song
Mighty Warriors Children Class presenting memory verses
Mighty Warriors Children Class presenting memory verses
Students presenting a drama
Attentively following the drama my Campus Students
Students presenting a drama
In attendance

Saturday, March 18, 2017

UZINDUZI WA ALBAMU YA NENO YA FRIDA FELIX

Uzinduzi wa Audio Album kufanyika tarehe 26 Machi 2017
katika kanisa la TAG City Harvest Bahari Beach
Kwa Mawasiliano zaidi piga +255 712 093 696

Thursday, March 16, 2017

Siku ya Wanawake yafana City Harvest

WWK katika picha ya pamoja na Wachungaji
Maadhimisho ya siku ya wanawake katika kanisa la City Harvest lililopo Bahari Beach jijini Dar es Salaam yamekuwa na mvuto wa kipekee. Idara ya wanawake kanisani hapo (WWK) ambayo ndiyo iliongoza maandalizi ya maadhimisho ya siku hiyo, ilikuwa na mengi ya kuwasilisha ikiwa ni kuonyesha mchango wa wanawake katika kulijenga kanisa na kuujenga Ufalme wa Mungu kwa ujumla.

Mhubiri wa jumapili hiyo alikuwa Mchunagji Rose Mavika ambaye alisisitiza juu ya uchaji Mungu kama sifa kuu ya mwanamke katika kanisa. Neno kuu la siku ya wanawake mwaka huu lilitoka kitabu cha Mithali 31:30 “Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.”

Mama Rosemary Mavika akihubiri City Harvest siku ya Wanawake

Mchungaji Mavika aliendelea kusisitiza kuwa anayemcha Bwana ni wa tofauti, ana Roho njema kutoka kwa Bwana, na ikiwa mwanamke atakuwa mcha Mungu, basi familia, jamii na taifa zima litaambukizwa kumcha Bwana, kama ilivyokuwa ushuhuda kwa maisha yake.



Katika kuendelea kumcha Bwana, Mchungaji Mavika alitaja mambo makuu matano ya kuendelea kuyashika, ambayo ni Maombi, Neno la Bwana, Utoaji, Kukusanyika pamoja na Kushuhudia.

Katika maombi, mwanamke ni lazima kuibeba familia na jamii yake, na kuacha kufuata watu kama mke wa Ayubu (Ayubu 2:9), Safira mke wa Anania (Matendo 5), na pia Delila, ambao kutoka kwao hatujifunzi mambo mema.

Maombezi yakiongozwa na Mchungaji Mavika
Katika maombi ni muhimu kujitakasa kwani kufanya hivyo ni kama binti anayejiandaa kumpokea mchumba wake.

Vilevile Mchungaji Mavika alisisitiza kuhusu kusoma na kujifunza Neno la Bwana (Joshua 1:1-9; Wakolosai 3:16) ili kuendelea kusikia kutoka kwa Mungu.

Pamoja na hayo, msisitizo ulikuwepo kwenye utoaji sadaka na zaka (Malaki 3:7-10; Malaki 1:6-14; Kutoka 25) Kukusanyika pamoja (Waebrania 10:25) kwenye ibada za pamoja kanisani, welcome groups na kusanyiko la nyumbani.


Mchungaji wa kanisa Matilda na Mchungaji Kiongozi
Yared Dondo wakikata keki kuadhimisha siku ya wanawake
Wanawake pia wanapaswa kuwa washuhudiaji, wahubiri wa Injili. Lakini juu ya yote, uhitaji wa kujazwa na nguvu ya Roho Mtakatifu wa Mungu afanyaye kazi ndani yetu (Luka 24:49; Matendo 1:8)

Katika shughuli nyingine, wanawake walithamini mchango wa watu mbalimbali katika huduma yao ikiwemo Wachungaji na viongozi wao kwa kuwapa zawadi kama sehemu ya kuwashukuru na vilevile kuchangia gharama ya ununuzi wa samani kwa ajili ya ofisi ya Mchungaji wa kanisa la City Harvest ambalo limehamia katika jengo lake jipya Bahari Beach

Wanawake wa City Harvest pia waliongoza ibada ya siku hiyo ikiwa ni pamoja na kuwa na nyimbo maalumu, shairi na igizo kama sehemu ya maadhimisho hayo muhimu ya kila mwaka.
Mchungaji wa WWK Dk. Bertha Kipilimba akikabidhi zawadi
kwa Mchungaji Kiongozi Architect Yared Dondo
Mstari wa mwaka kwa WWK: Mithali 31:30 “Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.”