GET YOUR COPY NOW
Philipian 4:4
Philipian 4:4 "Rejoice in the Lord always. I will say it again: Rejoice!"
Tuesday, February 3, 2015
Ujumbe wa Mwaka 2015: Mwaka Mpya na Mambo Mapya
Bwana Yesu Kristo Asifiwe ndugu mpendwa msomaji wa Blog yetu ya Rejoice and Rejoice
Tunakukaribisha tena katika blog yetu mwana huu wa 2015
Mengi tutaenda kuyaona katika blog hii, tunaendelea tena kwa uweza wake Mungu
Nakukaribisha sana endelea kututembelea mambo mazuri yanakuja
Ujumbe wangu kwako tunapoanza mwaka huu wa 2015, naomba usome hapo chini
Saturday, November 22, 2014
George (bonge) wa Kwaya ya Lulu Mtoni afariki dunia
Mwimbaji wa nyimbo za Injili George au bonge wa Kwaya ya Lulu Mtoni amefariki dunia Jana katika hospital ya Muhimbili
Mipango ya mazishi inafayikia nyumbani kwake Tabata Bima
Kesho mwili wa marehemu utasafirishwa kesho kwenda nyumbani kwao Tukuyu, Mbeya
Wakati wa uhai wake alitumia maisha yake kumtukuza na kumuhubiri Yesu kwa njia ya uimbaji
Mojawapo ya nyimbo alizoimba ni "around the corner" na "lulu"
George aliwashangaza wengi pamoja na kuwa na mwili mkubwa alikuwa mwepesi kumwimbia Yesu akiruka ruka kwa Furaha
Kwa maelezo zaidi jinsi ya kufika nyumbani kwa marehemu piga namba ya mwenyekiti 0754 464102
Rejoice and Rejoice imawapa pole wote waliofikwa na msiba huh
Tutengeneze na Mungu maana hatujui siku wala Saa, Amen
Friday, November 21, 2014
Tuesday, November 18, 2014
Myles Munroe's Children Weep as Thousands Show Up for First Sunday Service Since Crash; Church Recalls Last Sermon
![]() |
Myles Munroe and his wife, Ruth, (inset), and Myles Munroe Jr. and his sister, Charissa, (R).
|
Although prominent evangelical pastor Myles Munroe told the
world that he had prepared his children to live without him should he die, his
daughter, Charissa, and son, Myles Munroe Jr., couldn't hold back their tears
as they faced his former congregation for the first Sunday since his untimely
death with their mother, Ruth, and seven others in a fiery jet crash two
Sundays ago.
Kevin Harris, spokesperson for the Bahamas Faith Ministries,
which the renowned evangelical pastor and motivational speaker led before his
death, told The Christian Post in an interview Monday that attendance at the
church exploded Sunday with supporters who had been rocked by the tragedy.
"We had an overflow. We had to bring in [a] tremendous
amount of seating. Thousands of people turned up," said Harris.
One 20-year member of Munroe's church, who asked not to be
identified, told CP that the mood inside the church Sunday was
"somber."
"It was a sad mood," explained the member.
"Everybody was saddened by what happened. There was tears and
everything."
A video posted to Facebook from the service shows a few minutes
of Munroe's son addressing the church during that service before blacking out
to a voice-only recording.
"I was gonna prepare a speech, but as I was getting ready
this morning I just knew that I was coming to talk to family," Myles said,
struggling with tears. "I figured I would just speak to family. It's been
the hardest week for my sister and I and my family, and everyone else that has
been affected; and it's because of family why we are able to stand here
today," he continued.
"My dad always spoke about his belief in people, nothing
else mattered but the people, regardless of how long he spoke or he travelled,
he always made time for people. That's just the kind of person that he was. And
we sometimes take that for granted just because people are here every day and
you just don't think certain people won't be here tomorrow," he added,
while urging the congregants not to take each other for granted.
Wednesday, November 12, 2014
JIANDAE KURUDI NYUMBANI Sehemu ya Kwanza na Mwalimu Samwel Mkumbo
![]() |
| Mwalimu Samwel Mkumbo |
Utangulizi:
Maana hapa
hatuna mji udumuo, bali twautafuta ule ujao. (Waebrania 13:14)
Mtu huweza
kutoka asubuhi kwenda katika shughuli mbalimbali wengine huenda mashambani
wengine maofisini na wengine kwenye shughuli za aina nyingine, biashara lakini
ifikapo jioni au usiku HURUDI NYUMBANI, inawezekana kama ni watoto au ni wazazi
waliachana asubuhi wengine wakienda kazini wengine shuleni lakini jioni
WATARUDI NYUMBANI.
Mtu anapotoka
mji mmoja na kwenda mji mwingine kwa ajili ya kuishi huko aidha kwa sababu za
kikazi au hata biashara, akafanikiwa na akaanzisha maisha huko akawa na familia
huko na akajenga na makazi yake huko, lakini siku akifariki mara nyingi wengi
HURUDISHWA kuzikwa NYUMBANI.
Katika kitabu
hiki ambacho kitakusaidia kukueleza mambo kadhaa juu ya wokovu ulioupokea
katika maisha yako, utajifunza mambo mengi na ni maombi yetu ya kwamba kitabu
hiki kiwe msaada mkubwa sana kwako.
Mambo
utakayojifunza:
Sura ya
Kwanza: katika sura
ya kwanza utajifunza namna ambavyo dunia hii si mahali pa kupategemea na ya
kwamba si mahali pa kudumu, na pia utajua kama dunia si mahali pa kupategemea
je hatma yako ni nini, na ni nini mwisho wa maisha yako.
Sura ya
Pili: itakusaidia
kujua ni nini unachotakiwa kufanya kama dunia si mahali pa kudumu ili uweze
kufika unakotakiwa kwenda, utajifunza kuwa unahitaji sana maandalizi ya
kuelekea mahali unapotakiwa kwenda.
Sura ya
Tatu: mambo ya
msingi ikiwa ni mwendelezo wa sura ya pili ni kujua ya kwamba unakokwenda
hutakiwi kwenda mikono mitupu, kuna mambo unayotakiwa kuyabeba, hivyo kwanza
utajikuta kuna maswali unatakiwa kuyajibu ya ulichobeba kwanza na kisha utajua
ni nini unatakiwa kubeba.
Sura ya
Nne: sura hii
itakuelekeza mambo ambayo ni muhimu uyafahamu katika safari hii, mambo
yatakayotokea njiani, mambo ambayo yanapotokea usishangae, lakini pia utapata
tumaini kwa kujua ya kwamba hauko peke yako.
Nimalizie
utangulizi huu kwa kusema JIANDAE KURUDI NYUMBANI.
Sura ya kwanza.
DUNIANI
SIO KWETU
Nataka niweke
wazo hili kwanza kwako wakati unaendelea kusoma sehemu hii, ni kwamba DUNIANI
SIYO KWETU, ndio! Namaanisha hata wewe hapo ulipo, Duniani siyo Kwako,
haijalishi umeweka nini duniani, au unaipendaje dunia, au dunia inakupendaje.
Si kitu unawapendaje watu wa dunia na vitu vya dunia lakini nataka ujue, na
siyo utani kabisa kwamba hapa DUNIANI SIYO KWETU.
Waebrania
13:13-14 imeandikwa
hivi;
13 Basi
na tutoke tumwendee nje ya kambi, tukichukua shutumu lake. 14 Maana hapa hatuna
mji udumuo, bali twautafuta ule ujao.
Monday, November 10, 2014
Dr. Myles Munroe, wife Ruth, among 9 killed in Bahamas plane crash
![]() |
| Dr Myles Munroe |
This morning I received a sad message from a friend that our Life Coach and Role Model, Dr.
Myles Munroe, the leader of Bahamas Faith Ministries, was killed Sunday when
the plane he was in hit a construction crane, exploded and crashed in the
Bahamas.
Munroe's
wife, Ruth, was also among the 9 victims of the crash in Grand Bahama,
according to the Bahamas Tribune.
![]() |
| Group picture takes before departure |
The
small plane crashed after hitting the
crane in a shipyard on approach to the Grand Bahama International Airport,
according to officials there.
In
addition to founding BFMI, the internationally known Munroe was also president
of Myles Munroe International (MMI). The
BFMI website describes Munroe was a "lecturer, teacher, life coach,
government consultant, and leadership mentor."![]() |
| Dr Myles Munroe and his Wife Ruth |
The
plane crashed as people were gathering in Grand Bahama for the Global
Leadership Forum -- an event organized by Munroe.
Last month Dr Myles Munroe visited Tanzania, where he
spoke to Student Leaders, Business Leaders, Religious Leaders, politicians
and Government Officials.
Friday, November 7, 2014
Exciting Business Opportunity from America now in Tanzania
Its is my pleasure to Welcome you all to an exciting Business Opportunity from America to our country Tanzania.
Trevo opens its next international location in Dar es Salaam, Tanzania ,Trevo President & CEO Mark Steven with Country Directors Mike Ajao and David Kagoro will be there to celebrate the upcoming opening date for new center.
Through this business people will get financial and time freedom
If you have any question please dont hesitate to call the below Numbers
Trevo opens its next international location in Dar es Salaam, Tanzania ,Trevo President & CEO Mark Steven with Country Directors Mike Ajao and David Kagoro will be there to celebrate the upcoming opening date for new center.
Through this business people will get financial and time freedom
If you have any question please dont hesitate to call the below Numbers
Labels:
Business,
Christian Finance Advisor,
Event
Subscribe to:
Posts (Atom)





