Thursday, March 26, 2015

Mshukuru Mungu kwa kila jambo

Bwana asifiwe wapendwa, jana nilienda Kwenye mazishi ya Shemeji yangu, nilipenda sana mahubiri Mtumishi wa Mungu alitoa somo kutoka 1Watesalonike 5:17 " shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu."
Akasema watu wengi wanamkumbukaga Mungu wakiwa na shida, kama ugonjwa, mateso mbalimbali lakini mambo yao yakiwa mazuri wala hawamkumbuki Mungu.
Lakini pia anaendelea kusema watu wengi wanakwenda kumshukuru Mungu wakipata watoto, wenzi wa maisha, Gari, Nyumba nk, lakini watu hawamshukuru Mungu wakipatwa na taabu, mapito, vilio, misiba, majanga mbalimbali wakati neno hapo juu linatutaka kumshukuru Mungu kwa kila jambo.

Mahubiri yalikuwa mazuri nilifurahi sana yule mtumishi alikuwa ananikumbusha jambo hilo muhimu.
Kuonyesha kwamba NENO Hilo lilikuwa la kinabii baadae nilikutana na rafiki yangu ambaye miezi michache iliyopita alipatwa na janga kubwa sana yeye na familia yake lakini aliniambia jinsi alivyomshukuru Mungu na ameona Mungu akimtetea na kuendelea muonekania na anakuja kugundua haikutokea kwasababu labda Mungu hampendi bali Mungu analo kusudi jema kwa familia yake na ni kwa utukufu wa Mungu yote hayo yanatokea.
Kwahiyo ndugu yangu hebu muombe Mungu akupe Moyo wa Shukrani kwa lolote unalopitia yamkini ni Gumu sana linakuliza linakuacha huna raha, huna tumaini hebu tu mshukuru Mungu yeye anajua kwanini ameruhusu hayo ilimradi hujamkosea basi   mshukuru
Mungu akubariki na uwe na siku yenye ushindi

Monday, March 16, 2015

The Surprise of an answered Prayer by Pastor Dondo

Pastor  Dondo
Opening Scripture Comes from Acts 12:1-17
 "It was about this time that King Herod arrested some who belonged to the church, intending to persecute them. He had James, the brother of John, put to death with the sword. When he saw that this met with approval among the Jews, he proceeded to seize Peter also. This happened during the Festival of Unleavened Bread.After arresting him, he put him in prison, handing him over to be guarded by four squads of four soldiers each. Herod intended to bring him out for public trial after the Passover.
So Peter was kept in prison, but the church was earnestly praying to God for him.
The night before Herod was to bring him to trial, Peter was sleeping between two soldiers, bound with two chains, and sentries stood guard at the entrance. Suddenly an angel of the Lord appeared and a light shone in the cell. He struck Peter on the side and woke him up. “Quick, get up!” he said, and the chains fell off Peter’s wrists.
Then the angel said to him, “Put on your clothes and sandals.” And Peter did so. “Wrap your cloak around you and follow me,” the angel told him. Peter followed him out of the prison, but he had no idea that what the angel was doing was really happening; he thought he was seeing a vision. 10 They passed the first and second guards and came to the iron gate leading to the city. It opened for them by itself, and they went through it. When they had walked the length of one street, suddenly the angel left him.
11 Then Peter came to himself and said, “Now I know without a doubt that the Lord has sent his angel and rescued me from Herod’s clutches and from everything the Jewish people were hoping would happen.”
12 When this had dawned on him, he went to the house of Mary the mother of John, also called Mark,where many people had gathered and were praying. 13 Peter knocked at the outer entrance, and a servant named Rhoda came to answer the door. 14 When she recognized Peter’s voice, she was so overjoyedshe ran back without opening it and exclaimed, “Peter is at the door!”
15 “You’re out of your mind,” they told her. When she kept insisting that it was so, they said, “It must be his angel.”
16 But Peter kept on knocking, and when they opened the door and saw him, they were astonished. 17 Peter motioned with his hand for them to be quiet and described how the Lord had brought him out of prison. “Tell James and the other brothers and sisters about this,” he said, and then he left for another place."

If you go through these verses you will find two groups Peter who was in prison waiting for trial and the second group is the church praying for Peter to be released. 
When you are praying God will surprise you 
He can use people, or angels but no matter what what he will use can surprise you 
If you want to get surprise from God you jus pray, Prayer is the key to get God surprises 
We need to pray because God cannot do anything unless is through an answered Prayer 
Dont limit God, our God is a Big God
He is the same God yesterday, today and forever he has not changed, he will surprise you but only when you pray

Thursday, March 12, 2015

Wewe ni Mshindi Ishi kama Mshindi

Anza siku yako Leo kwa ushindi Maana wewe ni mshindi Kumbuka kuzaliwa kwako tu ni ushindi

Kulikuwa na mashindano makubwa ya mbegu za uzazi lakini ya kwako ndio ilishinda zingine zikafa

Usijidharau maana asili yako ni ushindi, hata kama mazingira yako ya sasa hayafanani na ushindi yasikutishe hayo yatapita wewe ni mshindi songa mbele ukashinde

Amini kwamba utafanikiwa na kila utakachokifanya Kitafanikiwa

Nenda sasa ukashinde Leo ndio siku yako ya kufanikiwa na kushinda