Thursday, October 18, 2012

Teach your Kids to Pray

Teach your Kids to Pray
Fundisha watoto wako Kuomba



Mama na Binti wakiomba
Mithali 22:6 "Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa mzee."

Maisha ya sasa yako soo demanding yaani yanabana sana kiasi kwamba watu wanakimbizana huku na kule ili kupata mkate wa kila siku.

Kama Mkiristo pamoja na changamoto zote lazima tusimame katika nafasi zetu.

Jambo la muhimu kwa watu wenye watoto ni kuhakikisha unafundisha watoto wako kuomba haijalishi wana umri gani,inapaswa umfundishe mtoto kuomba kuanzia hata hajazaliwa uwe unamuombea mara kwa mara,na akizaliwa uwe unaomba nae na kuendelea katika hatua zake za ukuaji anatakiwa aone familia inakaa pamoja na inaomba.

Maombi ya familia kwa pamoja yana maana sana kumjengea msingi mtoto,kama neno linavyosema hapo juu kwamba mfundishe mtoto njia atakayoiendea maana hataiacha atakapokuwa.

Akianza kuongea mfundishe kuombea chakula,na watu wote wanaoishi ndani ya nyumba yako unatakiwa uwatrain hivyo kwamba kabla watoto hawajala au kulala lazima waombe kwanza hiyo itageuka kuwa culture au utamaduni ndani ya nyumba yako na itawajenga watoto kujua umuhimu kwa kuomba.

Hata sometimes uwe unakwenda nae kwenye huduma mbalimbali za kuombea watu then anaona jinsi mtu anavyoombewa na mwisho anatoka na ushindi basi hapo mtoto atakuwa na picha ndani yake ya ukuu wa Mungu,atajifunza kukemea pepo na kuombea wagonjwa. Siku nyingine nitawaelezea experience your watoto kumuombea mtu na pepo likatoka.

Kama ikitokea wewe mwenyewe hujisikii vizuri au mwenzake anaumwa mzoeshe mtoto akuombee au amuombee huyo mtu anayepatwa na hiyo shida,basi hapo utakuwa unafanya training ya kuwaanda watumishi wakubwa wa kizazi kijacho….Najua kabisa Ibilisi hapendi lakini maneno ya Mungu katika Mathayo 19:26 Yanasema kwamba Kwa Binadamu Haiwezekani lakini kwa Mungu hakuna Lisilowezekana!

Faida za kumfundisha mtoto kuomba:

· Atakomaa na kukua Kiroho

· Atajengwa katika kusudi Mungu alilomuitia

· Ataweza kupambana na hila zote za Iblisi popote atakapokuwa

· Uhakika wa Ulinzi wa Mungu

· Kuja kuwa Mama au Baba bora

Mungu atusaidie tuweze kuwafundisha watoto jinsi ya kuomba,AMEN

Nakaribisha Mwenye cha kuongeza jamani tuweze kujengana……click comment utoe mchango wako

Tuesday, October 16, 2012

Pride au Majivuno




Leo ninapenda tuongelee  swala hili la Majivuno au Pride kama inavyotamkwa na wenzetu wazungu,

Tumesoma katika biblia Mungu hapendi kabisa majivuno na nafikiri ni kwasababu majivuno yanamfanya mtu awe na kiburi,na mtu anapokuwa na Kiburi si rahisi kumheshimu Mungu.

Kabla hatujaendelea naomba kwanza tuangalie neno la Mungu linasemaje kuhusu majivuno Zaburi 10:4 Mdhalimu kwa kiburi cha uso wake Asema, Hatapatiliza. Jumla ya mawazo yake ni, Hakuna Mungu.” Hapa tunaona neno Kiburi badala ya Majivuno lakini Majivuno =Kiburi maana yanazaa Kiburi,tuendelee….

Kuna hatari kubwa sana Mtu anapokuwa na Majivuno kuona kwamba Yeye mwenyewe kwa nguvu zake ndio anaweza hadi anaweza kufikia sehemu ya kusema kwamba hakuna Mungu.

Katika maisha ya kila siku katika maofisi,au biashara tunazofanya,mashuleni,vyuoni,au hata makanisani tumekutana na watu wenye majivuno ambao wanaona kwamba wao wako juu sana kuliko wengine yaani wao ndio bora,wengi huwa na tabia hii labda kutokana na familia walizotoka kama kuna kipato zaidi,au ni mfumo tu wa kifamilia,au uwezo katika masomo au uwezo tu wa kuwavuta watu kwa maneno au convicing power. Utakuta mtu anajivuna hadi anasahau kwamba yeye ni kitu kidogo sana aliubwa tu kwa neema na anaishi tu kwa neema na si kwa lolote alilonalo katika maisha yao.

Mara nyingi hata makanisani tumeona watu wenye tabia ya majivuno kwasababu tu labda wako katika kikundi fulani labda ni waombaji,kikundi cha praise and worship,mtoaji sana labda wanafikiri kwamba wao ndio watu wa maana tu mbele za Mungu…

Watu wengine majivuno yamewafanya wasiende hata kanisani anampa tu mke wake sadaka labda au watoto waipeleke,Au wengine kwavile mchungaji anampenda basi ndio majivuno yanaanza anaona kwamba wenzake sio kitu.

Kuna mistari mingi ya Biblia inayozungumzia Majivuno au Pride au Kiburi unaweza ukajisomea na uweze kujipeleleza uko wapi. . Isaya 2:11, Kumbukumbu la Torati 8:14

Mungu atusaidie tuweze kuwa na maisha yanayomuinua yeye tu na wala sio kufikiri liko jambo lolote la kimwili linaweza kutuhesabia haki mbele zake

Kwa leo naona niishie hapa ili nikupe wewe mpendwa wangu nafasi ya kutoa Maoni yako jee wewe unaelewaje majivuno au unaonaje hili swala la Pride linapoingia kanisani au hata katika maisha ya kawaida na umejifunza nini katika hii post?



Karibu Tujadili!


 

 

 

Couples Seminar .....Semina ya Ndoa


Couples Seminar             Couples Seminar      Couples Seminar


City Harvest Church in Partnership with Family Outreach Tanzania (FOTA) together with Family Impact Africa welcomes you to one day Couples Seminar
 
Place: Giraffe Ocean View Hotel DSM
Saturday 17th November 2012 ,9:00 a.m to 5:00 p.m
 
Main Talk of the day:
  • God Ideal Marriage
  • Loving your Mate though the season of life
 
Speakers: International and Local

Cost per Couple: 70,000 Tshs



You are All Welcome & God Bless You
 
 

 
 

Friday, October 12, 2012

HOW TO MAKE THE RIGHT DECISION


Making the Right Decision...

Location: City Harvest Church Dar Es Salaam

SPEAKER: LAWRENCE H. MWANTIMWA
 
Event : Youth Day
Date   : 07thOctober 2012
 
 

In this world we are always living the in the results  of our past decision, it can be decision made yesterday or some years ago, so you are who you are today because of what you decided before.

Today I am a Christian only because one day I accepted Jesus as my Personal Savior and Lord, so for you it depends what you decided too.
 

Youth Chairperson (The Speaker) insisting someting

 

The important decision that you made which you will never regret for its results was to decide to give your life to Jesus as your personal Savior and Lord.

We here today as a church because Pastor Dondo decided to obey the God’s calling to establish the church, if he did not respond to the calling then what happened to Jonah may be had happen to him too. 

Therefore we are living in the world whereby every day we making decisions for our own as well those affects our fellows.

Our Opening scripture today is from Joel 3:14 Multitudes, multitudes
in the valley of decision! For the day of the Lord is near in the valley of decision
.”

Youth on the Stage


Jonah 3:1 “Then the word of the Lord came to Jonah a second time

Deuteronomy 30:9-20 Blessing or Curse verse {15blesseng and curse}

 

Colossians 3:15 the Peace of Christ decide in you…Don’t do something if you don’t feel peace of God to do it. Even if it’s a new job,do think it’s the right decision.

Whatever you do make sure the Peace of the Lord has directed you to do or go. For somebody who is not close to God can not hear what God is saying.

 

John 14: 27 Peace of the world.

 There is a difference between the peace of this world and the Peace of God. If Jesus is in your life then you have that Peace which you cannot do anything without it, don’t use the peace of this world while you have Jesus`s peace to use.

 

Philippians 4:7 Gods Peace will protect you,

You will be safe if and only if you will dwell in God’s Peace alone and let it decide in you before you make any decision on your own.

 
Galatians 6:7 Decision is a seed,

 Decide something in God’s way and you shall reap the results, Plant something for your future and you shall see the results… trust me if  you just decide something today with strong determination you will see it in your future, for example you can decide to live a Holy life, decide to say no to sins, decide to be faithful to God’s work, decide to support the ministry.. You will see the impact. Otherwise you will BE ANYTHING IN THIS WORLD AS LONG AS U DECIDE TO BE THAT WAY….

City Harvest Church Pastors
 

Don’t die with potentials in you,

Make a decision to maximize your potential which God has stored in you. Don’t let God down, Greatness is your choice is not your destiny, when you die without maximizing your potential then they be somewhere complaining that didn’t use them.

Most people fail in life not because they aim too high and miss but because they aim too low and hit less

 

Decide to please God, to live a Holy life, your life will never be the same any more…

Don’t care about HOW.. BECAUSE THE HOW IS NOT OF YOUR BUSINESS.. THE HOW WILL COME, AS LONG AS U HAVE CHOSEN TO PLEASE GOD THE HOW WILL COME,,, TELL YOUR NEIGHBOUR THAT THE HOW WILL COME….. TELL HIM AGAIN THE HOW WILL COME..

Youth listening to their leader
 
I still remember when City Harvest started, we have seen God in every aspect, he has been Faithful to us, we expect many many more than these.

 

Monday, October 8, 2012

CATHERINE KUHLMAN....A Woman of Faith

 
Catherine Kuhlman Preaching

Kathryn Kuhlman shook twentieth-century Christianity back to its roots. Believers of all persuasions—Catholic, Baptist, Methodist, Presbyterian, Episcopal, or whatever, it didn’t matter—flocked to her meetings to be healed or filled with the Holy Spirit as they had read about in the book of Acts. Though she called herself “an ordinary person,” the effects of her ministry were anything but ordinary. Kathryn was one of a handful of ministers after World War II who prophetically reintroduced the Holy Spirit and His gifts to the body of Christ on the earth in what has proven the greatest revival of all time: the Charismatic Renewal.

She is mentioned at God`s Generals Book for her good deed in bringing lost soul to Christ.
Kathryn Kuhlman was born on May 9, 1907, to Joseph and Emma Kuhlman.

Saturday, October 6, 2012

A CALL TO HIGHER DIMENSION CONFERENCE

 YOU ARE ALL WELCOME TO THIS WONDERFUL YOUTH CONFERENCE

YOUTH  GOD HAS SOMETHING IN STORE FOR YOU DONT PLAN TO MISS

Monday, October 1, 2012

SWEET BABIES....

Wow Wow

We Thank God for his shower of Blessing,from left Lisette Henry,Camilla Kimaro and Irene Mushi celebrating at Ukida Day...