Friday, September 5, 2014

Semina ya Siku tatu (3) ya Kufunguliwa kwa Mwanamke mjini Moshi na Pastor Neema Shoo


The Woman of Value iliyo chini ya Mchungaji Neema Shoo ( MTBC Moshi) inakuletea Semina ya Siku tatu ya Wanawake, Mabinti na Wamama kwa siku 3.




Semina itafanyika kuanzia Ijumaa tarehe 10 saa 9 Mchana hadi 12 Jioni
                                           Jumamosi tarehe 11 saa 4 asubuhi hadi saa 10 Jioni
                                           Jumapili tarehe 12 saa 10 jioni hadi 12 jioni

Semina Itafanyika Katika Ukumbi wa Hindu Mandal Moshi Stand

Katika Semina hiyo watumishi mbalimbali watahudumu Pastor Neema Shoo, Bishop Mary Lutumba-DSM, Prophet Essien Godwin SImon-Ghana na Pastor Dickson Mtalitinya- Moshi.

Upendo Kilahiro and MTBC Moshi watatuongoza katika sifa na kuabudu

Wagonjwa na wenye shida mbalimbali wataombewa

Wanawake wa Kilimanjaro , Arusha na kote Tanzania hii Semina siyo ya kukosa mwambie na mwingine

No comments:

Post a Comment