Saturday, November 22, 2014

George (bonge) wa Kwaya ya Lulu Mtoni afariki dunia

Mwimbaji wa nyimbo za Injili George au bonge wa Kwaya ya Lulu Mtoni amefariki dunia Jana katika hospital ya Muhimbili

Mipango ya mazishi inafayikia nyumbani kwake Tabata Bima

Kesho mwili wa marehemu utasafirishwa kesho kwenda nyumbani kwao Tukuyu, Mbeya

Wakati wa uhai wake alitumia maisha yake kumtukuza na kumuhubiri Yesu kwa njia ya uimbaji

Mojawapo ya nyimbo alizoimba ni "around the corner" na "lulu"

George aliwashangaza wengi pamoja na kuwa na mwili mkubwa alikuwa mwepesi kumwimbia Yesu akiruka ruka kwa Furaha

Kwa maelezo zaidi jinsi ya kufika nyumbani kwa marehemu piga namba ya mwenyekiti 0754 464102

Rejoice and Rejoice imawapa pole wote waliofikwa na msiba huh

Tutengeneze na Mungu maana hatujui siku wala Saa, Amen

No comments:

Post a Comment