Wednesday, February 1, 2017

HUKUUMBIWA MABAYA

Na Shemeji Melayeki

MWANA WA MUNGU, MABAYA HAYAKUTENGENEZWA KWA AJILI YAKO

Uwe makini na ukiri wako mambo yanapoonekana kusambaa na kuunga mkono matangazo ya hali mbaya…

IMEANZA HIVI… You shall also decree a thing, and it shall be established unto you: and the light shall shine upon your ways.

(Job 22:28)

KWA SABABU HIYO BASI…….

When men are cast down, then you shall say, There is lifting up; and he shall save the humble person.

(Job 22:29)

KUWA HUMBLE “MNYENYEKEVU” SIYO KUJITANGAZIA MABAYA NA KUJIONA KWAMBA UMESTAHILI MATESO….. SEMA…… KUNA KUINUKA TENA

OBSERVE WHAT YOU SAY… DO NOT DECLARE THE FALL WHEN PEOPLE ARE FALLING..

Zaburi 91:10 Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.

Zaburi 91:7-8

Ijapo watu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribia wewe. Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki.

YESU ALIAMBIWA LAZARO AMEKUFA, LAKINI HAKUWAHI KUSEMA HIVYO HATA KIDOGO…. Yohana 11:11 Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.

ILIBIDI WAMLAZIMISHE ASEME UHALISIA…. Yohana 11:14 Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.

HATA KWA KIJANA ALIYEKUFA… Luka 8:52-54 Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu. Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa. Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.

WHEN MEN ARE CAST DOWN, THEN I SHALL SAY, THERE IS LIFTING UP; AND HE (THE LORD) SHALL SAVE THE ME.
TUONANE JUMAMOSI HII MLIMANI DULUTI, WALETE WENYE MAHITAJI AU UKIWA NA HITAJI LAKO TUPATIE TUKUOMBEE

AMEN

Apostle Shemeji Melayeki
GLOBAL FAMILY GATHERINGS MINISTRIES
PHONE: +255 714 548 565

No comments:

Post a Comment