Thursday, May 8, 2014

Kongomano Kubwa la Mwanamke wa Thamani kufanyika mjini Moshi

 

 
Wote Mnakaribishwa Katika Kongomano Kubwa La Mwanamke wa Thamani litakalofanyika Moshi mjini.
 
Mada:  Uthamani wa Mwanamke
            Uhusiano wa Mungu na Mwanamke
 
Wahubiri: Pastor Neema Shoo -Host
                 Pastor Lilian Ndegi
                 Pastor Dickson Mtalitinya- MTBC Moshi
 
Lini: Tarehe 10/ 05/2014 siku ya Jumamosi kuanzia saa 4 Asubuhi hadi saa 9 Mchana
 
Wapi: Ukumbi wa Lutheran Bookshop Stand ya Moshi Mjini
 
Waimbaji: Upendo Kilahiro
                MTBC Praise Team
 
Nikiongea na mwandaaji wa Kongomano hilo Pastor Neema Shoo, amesema kwamba wanawake watakaohudhuria Kongomano hilo wategee Kufunguliwa na Kupata Maarifa ya Neno la Mungu, hawataondoka kama walivyokuja, Amen!
 
Kwakweli mwanamke mwenzangu usikose maana vitu Mungu ameweka ndani ya hawa watumishi vitakupeleka kiwango kingine kabisa.
Kwa ninavyomjua Pastor Lilian Ndegi lazima wanawake wa Moshi wapate urejesho.... Haleluyaaaaaa
 
 
 

No comments:

Post a Comment