Tuesday, June 25, 2013

Living Water Centre: Annual Breakthrough Conference 2013


Living Water Center Ministry Kawe inakukaribisha katika Breakthrough Conference iliyoanza leo 25th -30 kuanzia saa 8 mchana uzindizi siku ya leo, na siku zinazofuata nikuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 12:30 Jioni

 Karibu upate kujifunza Neno la Mungu kutoka kwa watumishi wa Mungu mbalimbali Mwenyeji ni Apostle Onesmo Ndegi na Liliani Ndegi, Bishop,

Watumishi wageni ni;

Dr. Bernard Nwaka- Mwanzilishi na Askofu wa Living Water Global Churches na Restoration Bible Churches Afrika na Duniani,

Bishop,Dr. Emmanuel Tumwidike ni mwangalizi wa Restoration Bible Church (RBC) lililopo jijini Mbeya Tanzania,

Bishop Alois Rutivi kutoka Kenya,Bishop Langton Gatsi kutoka Zimbabwe,

Mchungaji Titus Mkama wa TAG Tanzania na

Mchungaji Jeremiah Kiwinda

 

No comments:

Post a Comment